Eeeeeeeeeeewaaaaahhahaa...ayawiayawi sasa yamekua walisema hakiivi sasa twalaa....
Nimpango mzima wa kuijulisha dunia kipaji ulichonacho wewe kama wewe Mtanzania kwakupitia Group matata na yakijanja hapahapa TZ.Siwengine bali nawazungumzia DCD (DOUBLE CLICK DSM)...vijana wanao pasua anga kwa kasi ya hali ya juu...Wakilenga sekta zote
za vipaji.....haya sasa ndoo maneno.....kujiunga piga no; 0712 32 40 20
1 comment:
DCD..nOW tHats WhATs uP!!! mi lovin' it
Post a Comment