

kuna watu wengi walisema sana na pia hawakupendelea stori zilizo tapaka jijini new york kuwa chriss brown na rihanna warejesha urafiki ila kaka cm punk kasema zaindi kwa vitendo.
Baada ya kaka punk kurushiana maneno na kaka brown katika mtandao wakijami TWITTER.
kaka cp punk alimtweet chriss ;-pigana na mtu anaeweza kujitetea.
chriss akajibu;-wewe umezoea kutumia vileo mbalimba ndomaana huna nguvu za kiume,ngoja nikutafutie mshauli wangu akusaidie.
chriss;- napia nitakutumia picha yangu..
ndipo kaka punk alipo amua kuanda pambano kati yake yeye na chriss brown.kaka punk pia aliongeza kwa kusema kua kaka brown kazoea kupiga wanawake kwaio hajaribu pia kupiga wanaume..
No comments:
Post a Comment