![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihkyKd7C1Ys_bhL8ZpEYMKeJjI4hdMJgk0W7wlLCMeRCsVXKx5XZWWtfWLVEhAODLN_GtyouybmbUgs2kZAbTd6UclDAvaWsZIFqIu4lpzhY5QbaPxBQpvv5T7YmGSuponEse6UbniC1wr/s400/MV+Bukoba+ikizama.jpg)
Mv Bukoba baada ya kugeuka chini juu.Hiyo sehemu yenye rangi nyeusi ni sehemu ambayo kawaida inakuwa chini ya maji .Walikuja watu(bila kujua wanafanya nini) walikata sehemu hiyo mbele chini yenye "ombwe" na kufanya kama pulizo lililotobolewa na meli ikazidi kuzama
No comments:
Post a Comment