To ma pipo


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Search This Blog

Friday, May 21, 2010

Unakumbuka: MIAKA 13 AJALI YA MV BUKOBA



Mv Bukoba baada ya kugeuka chini juu.Hiyo sehemu yenye rangi nyeusi ni sehemu ambayo kawaida inakuwa chini ya maji .Walikuja watu(bila kujua wanafanya nini) walikata sehemu hiyo mbele chini yenye "ombwe" na kufanya kama pulizo lililotobolewa na meli ikazidi kuzama

No comments: